Sunday, April 15, 2012

WANAMUZIKI WALIVYONG’AA TUZO ZA MUZIKI ZA KILI


Isha Mashauzi akiwa na tuzo ya Wimbo Bora wa taarab.
Queen Darin akiwashukuru mashabiki waliompigia kura.
Ally Kiba akiwashukuru mashabiki waliompigia kura.
Kiongozi wa African Stars, Luiza Mbutu (katikati), akiwa na tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili.
Diamond na Ommy Dimpozi wakikamua.
Msanii wa filamu, Shilole akipozi mbele ya kamera.
Diamond akipozi kupiga picha na mama yake.
Mmoja wa akina dada walioudhuria hafla hiyo akihojiwa na mwandishi wa habari.
Diamond akipozi na shabiki wake.
Ally Kiba akielekezwa sehemu ya kukaa.
Wanamitindo Asia Irdaous (kushoto) na Ally Rehmtullah.
Salma Jabu 'Nisha' akiwa na Flora Mvungi. 
Shabiki wa muziki akifuatilia utoaji tuzo huo.
H. Baba na mchumba wake Flora Mvungi.
Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo ulijaa shangwe na vifijo wakati wanamuziki wa Bongo walipokuwa wakitunukiwa zawadi za umahiri wa sanaa hiyo zijulikanazo kama KILI MUSIC AWARDS 2012.
(PICHA NA ISSA MNALLY/GPL)

Kwa hisani ya GPL.