Mshambuliaji
wa timu ya Chelsea,Fernando Torres akishangilia goli lake kwa hisia
kali sana aliloipachikia timu yake dhidi ya Timu ya Barcelona katika
mchezo wa nusu fainali ya pili ya Kombe la UEFA.kwa mche zo huu wa leo
uliomalizika kwa suluhu ya bao 2 - 2,na kuifanya timu ya Chelsea kutinga
hatua ya fainali.
Wachezaji
wa timu ya Chelsea wakishangilia goli zuri lililofungwa mBrazil,Ramires
(pili kulia) wakati wa mchezo wao uliomalizika muda mfupi uliopita
dhidi ya timu ya Barcelona.timu hizo zimefungana Bao 2 - 2,lakini
kutokana na bao 1 waliloshinda Chelsea katika mchezo wa awali imefanya
matokeo kuwa Barcelona 2 - 3 Chelsea na kuifanya timu hiyo kutinga
fainali bila zengwe.
Pamoja
na kwamba Chelsea walicheza pungufu baada ya Nahodha wao,John Terry
kulambwa kadi nyekundu,lakini waliweza kuhimili mchezo huo mpaka mwisho.
jirani leo hataki kuongea na mtu maana shunguli yake ishaishaaaa.......kufungwa noma jamaniii...