Mihangaiko | Hapa na Pale

Hapa na Pale Katika Maisha

Thursday, January 19, 2012

Breaking News!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!-Mbunge wa Arumeru hatunaye.


Jeremiah Sumari.

Habari zilizotufikia asubuhi hii zinasema kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeremiah Sumari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.


Habari zinasema kuwa mbunge huyo aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi alikuwa akisumbuliwa na uvimbe kwenye ubongo kwa muda mrefu. 


Imeelezwa kwamba kuna kipindi hali yake ilikuwa mbaya ambapo alipelekwa kutibiwa nchini India.

Baada ya kupata matibabu, alirudishwa nchini ambapo amefariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mtandao huu unatoa pole kwa wote waliofikwa na msiba huu!



Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: News
Newer Post Older Post Home
Earn free bitcoin

Labels

Accountant Administration Afya Ajali BANK- ADVANS BANK-ACB BANK-ACCESS BANK-ADB BANK-AKIBA BANK-AZANIA BANK-BARCLAYS BANK-BOA BANK-BOT BANK-CBA BANK-DCB BANK-DIAMOND TRUST BANK-EQUITY BANK-EXIM BANK-FNB BANK-I and M BANK-ICB BANK-KCB BANK-NBC BANK-NIC BANK-NMB BANK-POST BANK(TPB) BANK-POSTAL BANK-STANBIC BANK-TADB BANK-TIB BANK-UCHUMI Biomedical Engineer BUNGE Cement Jobs Chukua Hatua Community Relations Officer Coordinator CV Database Administrator Director Driver Elimisha Engineer Engineers Environmental Job Fahari ya Macho FELLOWSHIP PROGRAM Finance Officer Financial Policy Advisor Food Science Fumbo General Manager Gospel Songs Graduation Grants for Disabled Persons Habari Head of Retail Banking HR ICT IKULU Insurance officer Internal Auditor Internship Jumapili Katuni Kikwete Kumbukumbu Lecturer Legal Librarian Magazeti Mahakamani Maisha Makala Manager Maoni Marketing Officer Matajiri MATUKIO KATIKA PICHA Mchumba Mechanical Foreman Methali Michapo Michezo Middle East Jobs Mkapa Mnada Muziki Nafasi za Kazi Namba ya Simu Neno La Leo News Note Nyumba Office Assistant Officer Opportunities Part Time Jobs Phd position Picha Polisi Program Manager Project Engineer Project Manager Quality Assurance Quality Assurance Officer RAIS Receptionist REDET Research Research Specialist - Tanzania Revenue Sales Executive Scholarship Senior Mine Geologist Senior Quantity Surveyor Siasa SIKIKA SIMU ZA MIKONONI Soka la Bongo Story Studies Tangazo. Technician TRAINING UN JOBS US Embassy Utapeli Various Jobs VISA NA MKASA Vyuo Vikuu Wanyama Watoto wadogo Week end Zanzibar

Most Popular

  • ACCOUNTS SUPERVISOR – 1 Post
                                                                            African Barrick Gold is an established gold producer operat...
  • Moyo Mpweke kwa wanaotafuta Wachumba.
    Hello dear, Your Age, race and marital status are not factors in who I write to you. i am 24 years old young girl. I need someone who wil...
  • Nafasi za kazi Tanzania Postal Bank za Kumwaga
    Senior Application, Systems and Operations Support Officer - (One vacancy) Station: Dar es Salaam Objectives: The main objectives are...
  • Job opportunities-British Council and DFID Tanzania- Za Kumwaga
    The British Council and DFID Tanzania are pleased to announce a diverse range of job opportunities in areas ranging from project management,...
  • Nafasi za Kazi TRA Nyingi sana.
    patakazi.net EMPLOYMENT OPPORTUNITIES 1.0.           INTRODUCTION: Tanzania Revenue Authority (TRA) was established under th...
  • Nafasi nyingi za Kazi-NM-AIST
    THE NELSON MANDELA   AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (NM-AIST) EMPLOYMENT OPPORTUNITIES 1. BACKGROUND The Nelson Mandela African...
  • Nafasi za Kazi Serikalini Nyingi mno
    VACANCIES ANNOUNCEMENT The Public Service Recruitment Secretariat was established in accordance with section No.29 (1) of the Public Service...
  • KIFO CHA KANUMBA: Siri zaanza kufichuka
    KIFO CHA KANUMBA: Siri zaanza kufichuka •  Vinywaji vilivyokutwa chumbani vyachunguzwa na Waandishi wetu ...
  • Liberia Na Uganda Watembelea PSPF Tanzania
       Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa PSPF Mh. Adam Mayingu akitoa mada kwa wageni Meneja wa Mfumo wa Maasiliano wa PSPF Ndugu Andre...

Search This Blog

Total Pageviews

Popular Posts

  • Programme Officer
    African Institute for Capacity Development (AICAD) is a regional international institution whose main mandate is poverty reduction through...
  • Kumbukumbu ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima
    Kumbukumbu ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima   Leo katika kukumbuka siku ya Commando L...
  • WAMA YAKABIDHI MAJENGO YA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYAMISATI MKOA WA PWANI WILAYA YA RUFIJI
    WAMA YAKABIDHI MAJENGO YA MADARASA SHULE YA SEKONDARI NYAMISATI MKOA WA PWANI WILAYA YA RUFIJI ...
  • Procurement Officer - G4S Kenya Limited- Kenya
    Procurement Officer - G4S Kenya Limited- Kenya G4S  is the world's leading in...
  • KUTEKWA, KUSULUBIWA DK. ULIMBOKA: MAZITO YAIBUKA
    Dk. Steven Ulimboka. Kubenea. Dk. Mwakyembe. Mnyika. Stori: Sifael Paul Tukio la k...
  • Expressions of Interest: Development of Key Messages on Reproductive Health
    Calling for Expressions of Interest: Development of Key Messages on Reproductive Health Founded in 1973, Ipas is a global nongover...
  • Twiga Cement awards the top three winners of Quarry Life Award Campaign
    Twiga Cement awards the top three winners of Quarry Life Award Campaign Tanzania Portland Cem...
  • RWANDA AWARDS 50 MW METHANE GAS TO ELECTRICITY PROJECT ON LAKE KIVU TO U.S. SYMBION POWER
    RWANDA AWARDS 50 MW METHANE GAS TO ELECTRICITY PROJECT ON LAKE KIVU TO U.S. SYMBION POWER Dur...
  • KESHO NI IBADA YA KIPAIMARA KANISA LA KILUTHERI JIJINI LONDON
    KESHO NI IBADA YA KIPAIMARA KANISA LA KILUTHERI JIJINI LONDON ...
  • MAJINA NA SHULE ZILIZOPANGIWA WANAFUNZI 2014
    MAJINA NA SHULE ZILIZOPANGIWA WANAFUNZI 2014 Nafasi za kujiunga na kidato cha nne mwaka 2014  k...
AutoSurf Traffic Exchange: Powerful Results with SEO tips | 10KHits - 10KHits provides quality traffic hits to your personal or business websites.
Simple theme. Powered by Blogger.