Mihangaiko | Hapa na Pale
Hapa na Pale Katika Maisha
Saturday, October 09, 2010
Tanzania VS Algeria
Matokeo ni wao moja sie sifuri, duh tumepona kufungwa lingine. Bado dakika chache iwe mapumziko.
Mpira ni mapumziko.
Jamaa ndio walikuwa wanaimba nyimbo za Taifa kabla ya kuanza kipindi cha pili. Si unajua tena hawakuimba wakati wa kipindi cha kwanza?
Mpira umeanza sasa kama saa 11:15 jioni.
Newer Post
Older Post
Home