Nilipata tena SMS ambayo inazungumzia kuhusu ya Uchaguzi kuwa mwenye chama fulani hafai kuwa Rais.
Maoni yangu:
- TCRA wanaitambua hii number au imesajiliwa nchi gani?
- Huyu alietuma hiyo msg mbona hajajitambulisha kuwa yeye ni nani?
- Pia unatumia kigezo gani kuwa hafai kuwa Raisi kama sio uongo ni nini?
- Kuna shule ya kusomea Urais?
Ewe mwanablog hii mchunie huyo jamaa na piga kura kwa mtu anayeweza kuleta Maendeleo nchi yetu achana na ushabiki.