Dada wa marehemu Tyson,                    Doreen akilia kwa simanzi baada ya mwili wa kaka yake                    kuwasili katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini                    Dar es salaam jana jioni. 
        
 Jeneza lenye mwili wa                    George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya                    Kairuki, Mikocheni jijini Dar.
                Wadau              wa tasnia ya filamu wakiwa na jeneza la Mwili wa Tyson ukiwa              mochwari katika Hospitali ya Kairuki.PICHA NA GPL


 
