Thursday, October 09, 2014

POLISI JAMII AKIWAJIBIKA



POLISI JAMII AKIWAJIBIKA
Moja ya kitu ambacho Jeshi la Polisi nchini limecheza heko,ni kuanzisha kitengo cha Ulinzi shirikishi kwa kuwachukua vijana mbali mbali mitaani na kuwafunda vyema baadhi ya kazi za jeshi hilo vijana wa Polisi Jamii,hiki ni kitu kikubwa na safi sana kwa vijana hao kwa wingi wao,kwani wameweza kulipiga tafu Jeshi hilo,hasa katika kusaidia Askari wa Usalama Barabarani kuongoza magari ili kupunguza misongamano isiyokuwa na ulazima.pichani ni mmoja wa Polisi Jamii akiongoza magari barabarani.