katibu wa Chadema mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Henry Kilewo Akimkabize Mzee Kadi mpya ya Chadema baada ya mzee Huyo kurudisha kadi ya Tanu(ccm) Maeneo ya Usangi.
katibu wa Chadema mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Henry Kilewo Akitekeleza Jukumu la Kuingiza wanachama wapya
Kamanda Kilewo Akitoa maelekezo ya Kuanza kuwapokea Wanaccm Waliyoamua kujivua Gamba na Kuvaa Gwanda Hali ilikuwa Nzuri.Picha na CHADEMA