Monday, June 06, 2016

TAARIFA YA UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI YA WAKALA WA UAGIZAJI WA MAFUTA KWA PAMOJA (PBPA)



TAARIFA YA UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI YA WAKALA WA UAGIZAJI WA MAFUTA KWA PAMOJA (PBPA)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA NISHATI NA MADINI



                                                                                                                     
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter M. Muhongo (Mb), amemteua Dk. Steve Mdachi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA), kuanzia tarehe 03 Juni, 2016.

Kufuatia uteuzi huo, amewateua pia wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya PBPA kuanzia tarehe 03 Juni, 2016.
1.  Dkt. Daniel Sabai
2.  Dkt. Henry  Chalu
3.  Dkt. Siasa Mzenzi
4.  Mr. Salum Mnuna

 Imetolewa na;
KATIBU MKUU
6 Juni, 2016