Friday, May 23, 2014

Picha:Waombolezaji wakijiandaa kushusha kaburini jeneza la aliyekuwa Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyezikwa kijijini kwao Mulukulazo, Ngara mkoani Kagera

 
 
 
 
Waombolezaji wakijiandaa kushusha kaburini jeneza la aliyekuwa Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza aliyezikwa kijijini kwao Mulukulazo, Ngara mkoani Kagera jana. Picha na Shaaban Ndyamukama