Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya (wa tatu kushoto) akimsikiliza kwa makini Meneja Mkuu wa Benki ya CRDB tawi la Burundi,Bruce Mwile (kulia) wakati alipotembelea Makao Makuu ya CRDB yaliopo mjini Bujumbura,nchini Burundi.Wengine pichani toka kushoto ni Bi. Muna Mahanyu,Mkurugenzi wa Sheria EWURA,na Ndugu Elias Tamba,Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Burundi.