Friday, November 14, 2014

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20



Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20
Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda mwaka 1994 juzi iliadhimisha miaka 20 tokea ianzishwe. Maadhimisho hayo yalihusisha maonyesho ya kazi zake pamoja na mikutano. Siku ya mwisho Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal alikuwa mgeni wa heshima. Mhakama hiyo inamaliza kazi zake mwakani. Chini hapo ni baadhi ya picha za shughuli hiyo.
 Mpiganaji Danford Mpumilwa, ambaye ni Afisa Habari wa Mahakama hiyo akisoma hotuba ya Wafanyakazi wa Mahakama hiyo. 
 Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa Bwana Miguel de Serpa Soares akiangalia maonyesho hayo.
 Mgeni wa heshima Dr. Bilal akiangalia maonyesho kuhusu kazi za mahakama hiyo.