Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava akiwasilisha hotuba yake katika Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia. Mwaka huu linafanyika tarehe 3-5, 2014 mjini hapo.
Baadhi ya wajumbe kutoka Tanzania wanaoshiriki kwenye Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia. Mwaka huu linafanyika tarehe 3-5, 2014 mjini hapo na linakwenda sambamba na maonesho ya makampuni na taasisi mbalimbali zilizowekeza katika sekta ya madini Barani Afrika.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Eng. Ngosi Mwihava (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Wizara na Taasisi zilizochini ya Wizara hiyo zinazoshiriki katika Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia. Mwaka huu linafanyika tarehe 3-5, 2014 mjini hapo na linakwenda sambamba na maonesho ya makampuni na taasisi mbalimbali zilizowekeza katika sekta ya madini Barani Afrika. PICHA NA KOLETA NJELEKELA, PERTH AUSTRALIA