
Mh.Saada Mkuya Salum,Waziri wa Fedha akiagana na Mkurugenzi wa Benki ya HSBC baada ya majadiliano yaliyofanyika katika Hotel ya Mills Colonie Kigali Rwanda.

Mh.Saada Mkuya Salum,Waziri wa Fedha akiagana na Mkurugenzi wa Benki ya HSBC baada ya majadiliano yaliyofanyika katika Hotel ya Mills Colonie Kigali Rwanda.

Mh.Saada Salum Mkuya akiwa kwenye mazungumzo ya faragha na mratibu wa Mkoba Fund Bi.Erika Rubin mara baada ya mkutano wao uliofanyika katika ukumbi wa Muhabura Mjini Kigali Rwanda.

Waziri wa Fedha Mh.Saada M.Salum akimsikiliza kwa makini Bi.Erika Rubin mratibu wa mfuko wa Mkoba Fund wakati wa mkutano wao uliofanyika katika Hotel ya Serena Mjini Kigali Rwanda. Kulia kwa Mh.Waziri ni Nd.Jovin Rugemarila Afisa anayeshughulikia masuala ya ADB na mbele yake ni Kamishina msaidizi wa Fedha za nje –Wizara ya Fedha Nd.Jarome Bureta.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedhda Dkt.Silvacius Likwilile akieleza kwa muhtasari yale yaliyojadiliwa katika mikutano ya Benki ya maendeleo ya Afrika inayoendelea Nchini Rwanda. Anayemhoji Katibu Mkuu ni mtangazaji wa TBC Nd. Stanley Ganzel.