Mihangaiko | Hapa na Pale
Hapa na Pale Katika Maisha
Sunday, October 14, 2012
Nyerere Utakumbukwa Daima,
Hayati Baba wa Taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere pichani ni miaka 13 sasa imepita tangu afariki Dunia huko London wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya St.Thomas, Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani Baba wa Taifa.
‹
›
Home
View web version