Mihangaiko | Hapa na Pale
Hapa na Pale Katika Maisha
Friday, July 27, 2012
HERI YA SIKU YA KUZALIWA MHE SPIKA ANNE MAKINDA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Anne Makinda (kushoto) akipokea zawadi ya keki iliyoandaliwa na wafanyakazi wa ofisi ya Bunge katika kuazimisha miaka 63 ya kuzaliwa kwake mjini Dodoma.
‹
›
Home
View web version