Kifo cha kiungo mkabaji wa timu ya Simba, Patrick Mafisango,
kilichotokea leo alfajiri maeneo ya Veta-Chang’ombe jijini Dar es
Salaam baada ya kupata ajali ya gari, kimewahuzunisha watu wengi
ambao walikusanyika nyumbani kwa mchezaji mwenzake, Emannuel Okwi,
maeneo ya Bora-Keko ambako taratibu za msiba zinafanyika huku wakilia
kama watoto.
PICHA NA GLADNESS MALLYA, GPL