Tuesday, April 21, 2015

WATANZANIA 18 WALIOKUWA WAMENASWA NA VITA YA YEMENI HATIMAYE WARUDISHWA NYUMBANI NA SERIKALI


WATANZANIA 18 WALIOKUWA WAMENASWA NA VITA YA YEMENI HATIMAYE WARUDISHWA NYUMBANI NA SERIKALI

WaTanzania 18 waliokuwa wamenaswa na vita ya Yemeni hatimaye wamerejea nyumbani hapa wakizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuwasili nyumbani bongo!!