Wednesday, December 17, 2014

Balozi marmo akabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa austria mjini Vienna


Balozi marmo akabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa austria mjini Vienna
 Balozi wa Tanzania nchini Austria ambaye ana makazi mjini Berlin, Ujerumani Mhe. Philip S. Marmo mapema mwezi huu likabidhi Hati za Utambulisho (Letter of Credence) kwa Mhe. Dkt. Heinz Fischer, Rais wa Austria. Shughuli hizi zilifanyika katika ukumbi maarufu wa Maria Teresa uliopo katika kasri ya wafalme wa zamani wa "Austro-Hungarian Empire" mjini Vienna. Gwaride rasmi kwa ajili ya Balozi mpya iliendeshwa katika viwanja vya Hofburg.