Wednesday, November 19, 2014

mabalozi wa Hifadhi za Taifa wa TANAPA watembelea Bungeni Dodoma leo



mabalozi wa Hifadhi za Taifa wa TANAPA watembelea Bungeni Dodoma leo
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akisalimiana na mabalozi wa Hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA,waliotembelea Bungeni mjini Dodoma leo.
Kikundi cha Vijana ambao ni mabalozi wa hifadhi za Taifa zilizo chini ya TANAPA wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu.Vijana hawa wako mjini Dodoma katika ziara ya kimafunzo.Picha na Deusdedit Moshi.