Saturday, October 25, 2014

Yummies Bakery mabingwa wa kuoka mikate



Yummies Bakery mabingwa wa kuoka mikate
Yummies Bakery ni mabingwa wa kuoka mikate mbalimbali, wakitumia kauli mbiu yao ya '' we bake to differ'' yaani tunatofautisha uokaji, kwa kuoka mikate bora kabisa na yenye ladha Nzuri; wapo Sinza Mori wanatizamana na kituo cha mafuta cha Big Bon , pia wana branches zao Masaki Chole Road Kituo cha Tax, Mwenge nyuma ya police post na Mbezi njia ya chini Kituo cha Msikitini, ukifika hapo utapata mikate mizuri ya brown , sweet breads, white breads, milk breads, maandazi , chapati , Pan Cakes, bites za aina zote, cookies, pastries, doughnouts,biscuits,pizza na burgers.

Yummies Bakery pia ni mabingwa wa kutengeneza keki za aina zote kuanzia birthday, wedding, anniversaries, graduations, corporate events. wanatengeneza keki zenye picha kwa kutumia karatasi maalum za icing sugar zinazoweza kuprint picha za aina mbalimbali zinazolika; leta picha yako, ya mwanao au chagua cartoon yeyote tutaprint na kuweka juu ya keki.

Wasiliana nao kwa namba 0655 672772 au 0657 913807
Pia kwa email : yummiesb@gmail.com
'' Chagua Yummies upate ubora'