Friday, October 17, 2014

KAMATI KUU YA CHADEMA YAKUTANA NA WANACHAMA WALIOTIA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE UCHAGUZI MKUU 2015



KAMATI KUU YA CHADEMA YAKUTANA NA WANACHAMA WALIOTIA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE UCHAGUZI MKUU 2015
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiingia katika ukumbi wa mkutano wakati wa Kikao cha Kamatii Kuu ya Chama hicho kilipokutana na Wanachama waliotia nia ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akiingia katika ukumbi wa mkutano wakati wa Kikao cha Kamatii Kuu ya Chama hicho kilipokutana na Wanachama waliotia nia ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Joseph Haule 'Prof. J' (wa kwanza kushoto)akiwa katika Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema pamoja na wajumbe wengine wakimkaribisha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Viongozi Wakuu wa Chadema wakiomba dua kabla ya kuanza Kikao.
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, Salum Mwalimu.
Salum Mwalim akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho.
 Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar,  Said Issa Mohamed akizungumza katika Kikao hicho.
 Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, John Mnyika akizungumza katika kikao hicho.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdalah Safari.
Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Wilbrod Slaa
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza katika wakati wa Kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho ilipokutana na Wanachama waliotia nia ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2015.
Wabunge wa Chadema wakiwa katika kikao cha Kamati Kuu.
  
Baadhi ya viongozi wa Chadema.
Mustafa Muro akiwa katika Kikao hicho.
Wanachama wa Chadema.
Wanachama wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema.

Wanachama wa chama hicho.
Mwanamuziki wa kizazi kimpya Prof. J akiwa ni miongoni mwa watia nia.
Msanii wa bendi ya M4C akitumbuiza.
Msanii wa bendi ya M4C akitumbuiza.Picha Zote na Francis Dande