Friday, October 31, 2014

BREAKING NEWS: MTANGAZAJI MAARUFU BEN KIKO AFARIKI DUNIA!



BREAKING NEWS: MTANGAZAJI MAARUFU BEN KIKO AFARIKI DUNIA!
Ben Kiko enzi za uhai wake. ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN.