Monday, August 18, 2014

MDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED




MDAU ABUU MAIGE AFUNGA NDOA NA ZAINAB AHMED
Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki. 
 Bwana Harusi akiwa na Wazazi wake Mzee Maige na Mkewe.
 Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki,pichani nyuma wakiwa na Wazazi wao katika picha ya pamoja mara baada ya ndoa kufungwa.