Tuesday, August 12, 2014

MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA JESHI LA POLISI




MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA JESHI LA POLISI
Jeshi la Polisi Tanzania linawaita kwenye usaili vijana waliomaliza kidato cha nne mwaka 2013 na  kidato cha sita mwaka 2014 ambao wamechaguliwa kufanya usaili kabla ya  kujiunga na Jeshi la Polisi.
Usaili utafanyika katika miji ya makao makuu ya mikoa Tanzania Bara Kwa tarehe zilizooneshwa kwenye jedwali hapa chini:
NA
MIKOA
KITUO CHA USAILI
TAREHE ZA USAILI
MUDA WA  USAILI
1
 TANGA
OFISI YA RPC TANGA
18-21 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
2
PWANI
OFISI YA RPC PWANI
23-26 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
3
DSM ZONE
OFISI YA RPC  ILALA,KINONDONI,TEMEKE
28-01 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
4
MTWARA
OFISI YA RPC MTWARA
03-06 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
5
LINDI
OFISI YA RPC LINDI
08-11 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
6
SIMIYU
OFISI YA RPC SIMIYU
18-21 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
7
SHINYANGA
OFISI YA RPC SHINYANGA
23-26 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
8
TABORA
OFISI YA RPC  TABORA
28-01 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
9
KATAVI
OFISI YA RPC  KATAVI
03-06 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
10
RUKWA
OFISI YA RPC RUKWA
08-11 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
11
KILIMANJARO
OFISI YA RPC KILIMANJARO
18-21 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
12
ARUSHA
OFISI YA RPC ARUSHA  
23-26 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
13
MANYARA
OFISI YA RPC MANAYARA
28-01 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
14
SINGIDA
OFISI YA RPC SINGIDA
03-06 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
15
DODOMA
OFISI YA RPC DODMA
08-11 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
16
KIGOMA
OFISI YA RPC KIGOMA
18-21 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
17
MWANZA
OFISI YA RPC  MWANZA
23-26 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
18
MARA
OFISI YA RPC  MARA
28-01 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
19
GEITA
OFISI YA RPC GEITA
03-06 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
20
KAGERA
OFISI YA RPC  KAGERA
08-11 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
21
MOROGORO
OFISI YA RPC MOROGORO
18-21 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
22
IRINGA
OFISI YA RPC IRINGA
23-26 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
23
MBEYA
OFISI YA RPC  MBEYA
28-01 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
24
NJOMBE
OFISI YA RPC  NJOMBE
03-06 /10/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
25
RUVUMA
OFISI YA RPC RUVUMA
08-11 /09/2014
08:00 ASUBUHI -16:00 JIONI
Muhimu:
(i) Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili kilicho karibu naye kulingana na tarehe zinavyoonesha kwenye jedwali hapo juu ili mradi awe amejiridhisha kuwa ni miongoni mwa walioitwa kwenye usaili. Jeshi la Polisi halitashughulikia usaili wa mtu ambaye hayupo kwenye orodha ya walioitwa kwenye usaili.
 (ii) Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyote vya masomo [(Academic Certificate(s)/Results slip(s) & Leaving certificate(s)] na nakala halisi ya cheti cha kuzaliwa (Original Birth certificate)]. Hati ya kiapo cha kuzaliwa haitakubalika.
 (iii) Mwombaji awe na namba ya simu itakayotumika kumjulisha endapo atachaguliwa..
 (iv) Kila mwombaji aliyeitwa kwenye usaili atajigharamia usafiri, chakula na malazi kwa muda wote wa zoezi la usaili. Pia waombaji waje na kalamu za wino kwa ajili ya usaili wa kuandika.
 Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.

PAKUA ORODHA YA MAJINA HAPA CHINI