Monday, June 30, 2014

Mtangazaji Regina Mwalekwa Aikimbia Clouds FM, Apata Deal la Nguvu Redio Kubwa




Mtangazaji Regina Mwalekwa Aikimbia Clouds FM, Apata Deal la Nguvu Redio Kubwa
Leo Asubuhi Mtangazaji wa Clouds FM Mwanadada Regina Mwalekwa Ametangaza wazi kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM kuwa anaacha kazi rasmi katika kituo hicho alichofanya kwa muda mrefu, Regina Mwalekwa aliwashukuru Watangazaji na Mabosi wa Kituo cha Clouds kwa Kumlea Vizuri katika kipindi chote alichokuwa hapo.
Regina Mwalekwa hakusita kusema sababu ya Kuacha kazi kituo hicho ambapo alisema amepata kazi katika Shirika la Utangazaji la BBC.