Saturday, May 31, 2014

NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA


NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU 2014-2015 CHUO CHA UALIMU RENGEMBA MAFINGA IRINGA
USAJILI NA.TLF/011P
NAMBA YA KITUO CHA MITIHANI E.643.

CHUO KINATANGAZA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2014 - 2015
 
NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NA CHILD DEVELOPMENT - 2014-2015
ADA YA MWAKA MOJA PAMOJA NA HOSTEL NI MILLIONI MOJA (1,000,000) UNAWEZA KULIPA KWA AWAMU NNE NDANI YA MWAKA MMOJA.
 
FORM ZA SHULE ZINAPATIKANA
 
kwa maelezo zaidi wasiliana na njia ya barua pepee; rugemba@gmail.com
 
REGEMBA CHUONI -0753 038336
DAR ES SALAAM -BOKO MAGENGENI - 0657879068 DEBORA SECRETARY
DAR ES SALAAM - BUGURUNI HOSPITAL - 0763818244 - GREENA
DAR ES SALAAM - ALMASHAURI YA TEMEKE WIZARA YA ELIMU - 0717006887 - ANNA ALPHONSO
DAR ES SALAAM-0715379940 NATALIE- MNAWEZA KUKUTANA TOWN -
 
1.MAFUNZO YA UALIMU STASHAHADA (SECONDARY) "DIPLOMA IN SECONDARY" (DSEE) KWA MIAKA 2.
sifa za muombaji awe amemaliza kidato cha sita (VI) na ufaulu wa principal (1) na subsidiary 91)
2. UALIMU DARAJA LA 111A - NGAZI YA CHETI (GATCE) KWA MIAKA 2
sifa za mwombaji: awe amemaliza kidato cha nne (1V) na ufaulu wa alama 26-27 (kwa mwaka 2004-2012)au alama 32-34 (kwa mwaka 2013)
3. MAFUNZO YA UALIMU WA AWALI (ECDE) - KWA MWAKA 1.
sifa za mwombaji; awe amemaliza kidato cha nne na ufaullu daraja 1V ya alama 42.
 
NB: Wanafunzi wote watakakosomea mafunzo ya elimu ya awali; chuo kitawapa nafasi ya kurudia mitiani ya kidato cha nne ili waweze kwenda ngazi nyingine ya juu.
 
4. MAFUNZO YA QUALIFYING TEST (QT) MIAKA 2 YANATOLEWA CHUONI
5. CHUO PIA KINATOA MAFUNZO YA KURUDIA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (kwa wale wote wanaohitaji)
 
KOZI ZINAZOTOLEWA CHUONI:
 
6. DIPLOMA IN SECONDARY EDUCATION (DSE)
kidato cha sita awe na pirncipal pass moja na subsidiary moja kwenye masomo ya kufundishia matokeo ya zamani na principal pass mbili kwa matokeo ya form six yatakayotoka mwezi wa saba mwaka huu.
7. CERTIFICATE IN EARLY CHILDHOOD DEVELOPMENT EDUCATION (ECDE)
8.DIPLOMA IN PRIMARY EDUCATION (DPE)
awe amehitimu mafunzo ya ualimu wa shule ya msingi ngazi ya cheti
9. DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD DEVELOPMENT EDUCATION (DECDE)
sifa za muombaji; awe amehitimu mafunzo ya ualimlu wa awali ngazi ya cheti
 
10. GRADE 111A TEACHERS CERTIFICATE (GATCE)
ni elimu ya kidato cha 1V mwisho ni dividion 1V point 34 matokeo ya sasa na 27 matokeo ya zamani awe na D za BG, ENG, KISW, na MATH.